Friday, May 18, 2012
BE PART OF THE
GLOBAL CALL
TO REVIVE PROPHET'S ( صلى الله عليه و آله وسلم ) SUNNAH AS EMBODIED IN QURAN AND AHADITH
JOIN HANDS WITH EACH OTHER TO SPREAD THE MESSAGE OF PEACE. HELP MUSLIMS COME BACK TO THE STRAIGHT PATH OF ISLAM AND ENSURE THEIR SALVATION IN HEREAFTER
|
أكبر رابطة اسلامية العقيدة الصحيحة في العالم
LARGEST ISLAMIC ASSOCIATION IN THE WORLD
330 ASSOCIATE ISLAMIC INSTITUTIONS
APPROXIMATELY 2 MILLION REGISTERED MEMBERS
AND OVER 350 MILLIONS REAL AHLE SUNNA FOLLOWERS
|
Source: CIF INTERNATIONAL ASSOCIATION
Lagos,Nigeria amezaliwa mtoto ambae ameshikilia kitabu cha dini yani Quran..mama Kikelomo Ilori (32), alijifungua Jumatatu iliyopita mtoto aliyekuwa ameshikilia Kurani ndogo baada ya kubeba mimba kwa miezi 10 na kwamba licha ya mumewe kumshawishi kuitoa mimba hiyo, alikataa.
“Nilipokataa kutoa mimba, mume wangu alinitelekeza akidai kuwa ‘hilo ni tatizo lako,’ lakini nesi aliyenizalisha alishangazwa na tukio hilo, akasema Kurani itupwe lakini nilikataa, nikasema mama yangu lazima aione,” alisema Kikelomo.
Mchungaji wa kanisa analoabudia mwanamke huyo, Victoria Yetunde Dada alisema wakati wa ujauzito, Kikelomo alikuwa akifika kanisani mara kwa mara kuomba na akamshauri asiitoe mimba hiyo kwa kuwa kiumbe hicho kimeletwa na Mungu.
SOURCE BY TEEN TZ!
“Nilipokataa kutoa mimba, mume wangu alinitelekeza akidai kuwa ‘hilo ni tatizo lako,’ lakini nesi aliyenizalisha alishangazwa na tukio hilo, akasema Kurani itupwe lakini nilikataa, nikasema mama yangu lazima aione,” alisema Kikelomo.
Mchungaji wa kanisa analoabudia mwanamke huyo, Victoria Yetunde Dada alisema wakati wa ujauzito, Kikelomo alikuwa akifika kanisani mara kwa mara kuomba na akamshauri asiitoe mimba hiyo kwa kuwa kiumbe hicho kimeletwa na Mungu.
SOURCE BY TEEN TZ!
Wednesday, March 21, 2012
NEW BLOG FOR YOUNG MUSLIM
Asalam Alykum kijana wa kiislam,kutokana na ukuwaji wa technolojia ya mawasiliano,Chuma salum kupitia kampuni yake ya CHUMA THE DESIGNER,inakutambulishia blog mpya ya kiislam ambayo itakuweka karibu na Dini yako ya Islam ukiwa kwenye mtandao ili kuepuka ushawishi wa shetani kwa kutumia technolojia ya mawasiliano Vibaya,Support this blog to Support young Islamic Movement,,ili kudumisha kizazi cha Dini ya Islam Tanzania na duniani kote.
Friday, March 16, 2012
PROUD2BMUSLIM
MAONI,USHAURI NA ELIMU
Kwa ushauri na Elimu zaidi,unaweza kutumia mawasiliano ya hapo chini ili kuiboresha Blog yetu,Pia tunakaribisha matangazo yote ya Dini ya Kiislam BURE.
KARIBU.
Tigo: 0717 18449
Vodacom: 0759338709
email: salummsale@yahoo.com
Facebook account: Chuma Salum
Facebook page: amproud2bmuslim
twitter account: Chuma Salum
Skype account: Salum.Chuma
KARIBU.
KURASA HII BADO IPO KWENYE MATENGENEZO ZAIDI
Subscribe to:
Posts (Atom)


