Friday, May 18, 2012

IJUMAA KAREEM
BE PART OF THE
GLOBAL CALL
TO REVIVE PROPHET'S ( صلى الله عليه و آله وسلم ) SUNNAH AS EMBODIED IN QURAN AND AHADITH

JOIN HANDS WITH EACH OTHER TO SPREAD THE MESSAGE OF PEACE.  HELP  MUSLIMS COME BACK TO THE STRAIGHT PATH OF ISLAM AND ENSURE THEIR SALVATION IN HEREAFTER 

أكبر رابطة اسلامية العقيدة الصحيحة في العالم
 
 LARGEST ISLAMIC ASSOCIATION IN THE WORLD

330 ASSOCIATE ISLAMIC INSTITUTIONS
 APPROXIMATELY 2 MILLION REGISTERED MEMBERS

AND OVER 350 MILLIONS REAL AHLE SUNNA FOLLOWERS 

Source: CIF INTERNATIONAL ASSOCIATION
Lagos,Nigeria amezaliwa mtoto ambae ameshikilia kitabu cha dini yani Quran..mama Kikelomo Ilori (32), alijifungua Jumatatu iliyopita mtoto aliyekuwa ameshikilia Kurani ndogo baada ya kubeba mimba kwa miezi 10 na kwamba licha ya mumewe kumshawishi kuitoa mimba hiyo, alikataa.

“Nilipokataa kutoa mimba, mume wangu alinitelekeza akidai kuwa ‘hilo ni tatizo lako,’ lakini nesi aliyenizalisha alishangazwa na tukio hilo, akasema Kurani itupwe lakini nilikataa, nikasema mama yangu lazima aione,” alisema Kikelomo.

Mchungaji wa kanisa analoabudia mwanamke huyo, Victoria Yetunde Dada alisema wakati wa ujauzito, Kikelomo alikuwa akifika kanisani mara kwa mara kuomba na akamshauri asiitoe mimba hiyo kwa kuwa kiumbe hicho kimeletwa na Mungu.

SOURCE BY TEEN TZ!